WASICHANA WAHAMASISHWA KUSOMA MASOMO YA SAYANSI NA UFUNDI ARUSHA
![]() |
| Wanafunzi kutoka Shule za Sekondari 10 kwenye mikoa ya Arusha na Manyara wakifatilia tamasha hilo ambao waliahidi kusoma masomo ya ufundi ambayo yana uhakika wa ajira. |
![]() |
| Mmoja wa wanafunzi kutoka Shule ya Arusha Sekondari aliyefanya vizuri kujibu maswali ya kisayansi akipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi. |
![]() |
| Uongozi wa Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi wa kike kutoka shule mbalimbali. (credit michuzi blog) |






Post a Comment