WANANDOA WAZEE WATEKELEZEWA OMBI LAO LA KUONDOLEWA UHAI PAMOJA

Wanandoa wazee waliofunga ndoa iliyodumu kwa miaka 65 wamekufa wakiwa wameshikana mikono kufuatia ombi lao la kuuwawa kwa kutumia dawa inayosababisha kifo kisicho na machungu kutekelezwa.

Wanandoa hao Nic na Trees Elderhorst, wote wenye umri wa miaka 91, waliaga dunia wakiwa wamezungukwa na wanafamilia nyumbani kwao huko Didam, nchini Uholanzi.


Wanandoa hao waliwasilisha ombi la kufa pamoja kutokana na Nic kuwa mgonjwa na Trees kukosa uwezo wa kumuhudumia mumewe mgonjwa kutokana naye kuwa mgonjwa.

No comments

Powered by Blogger.