HULL CITY YAIBANA MBAVU MANCHESTER UNITED OLD TRAFFORD
Wenyeji Manchester United walishinda
kabisa kupata ujanja wa kutumbukiza mpira kumpita kipa wa Hull,
ambaye alizuia kiufundi shuti la mbali la Zlatan Ibrahimovic na
jitihada za shambulizi la Paul Pogba katika kipindi cha kwanza.
Kwa matokeo hayo Manchester United
wanabakia katika nafasi ya sita, lakini yameisaidia Hull City
kujikwamua kutoka chini kwenye msimamo.
Zlatan Ibrahimovic akijipinda kuachia shuti akijaribu kutafuta goliMarcus Rashford akijaribu bila ya mafanikio kulenga goli
Post a Comment