Wolper Na Harmonize Wala Bata Serengeti


                                         Wolper na Harmonize wakiwa kwenye bwawa la kuogelea 

WASANII wawili ambao ni wapenzi wanaogonga vichwa vya habari Bongo, Jaqueline Wolper na Rajab‘Harmonize’ wikiendi iliyopita wamekula bata kwenye mbuga ya wanyama ya Serengeti.
Wawili hao waliondoka Dar es salaam Jumamosi wiki iliyopita na kuelekea Arusha kwa ajili ya mapumziko ya wikiendi na baadae kuungana na Rich Mavoko pamoja na Raymond Jumatatu ya sikukuu ya Eid (jana)  kwa ajili ya show Mkoani Tanga.
                                                  wakila bata pembeni ya bwawa la kuogelea
                                            wakiogelea kwenye bwawa lililopo hotelini hapo
                                                                     Walipowasili hotelini
                                                  katika pozi tofauti baada ya kuwasili
                                                    wakiwa na wahusika wa Napanda Safaris
wolper akiwa ndani ya hoteli hiyo ya kitalii

Wolper kupitia instagram aliandika: Asante Raj wangu kwa kunipeleka vacation… nime enjoy saana Harmonize.
Kwa upande wa Abby ambaye ni mmiliki wa kampuni ya Tour ambayo iliowapeleka ameandika:
The experience we had together was extremely amazing! I Was so impressed with the way you guys handle each other. This left me with memories of the entire trip to Serengeti .Thank you so much for trusting  Napanda Safaris to plan for your vacation .Can’t wait for our next plans as we discussed and the preparations has started now!

No comments

Powered by Blogger.