WAZIRI MKUU WA UINGEREZA THERESA MAY AKUTANA KWA MARA YA KWANZA NA VIONGOZI WA DUNIA

 Waziri Mkuu wa Uingereza, Bi. Theresa May, amekutana kwa mara ya kwanza na viongozi wa mataifa mbalimbali katika mkutano wa G20, tangu achaguliwe kutwaa wadhifa huo baada ya Uingereza kupiga kura ya kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya.
Hata hivyo mkutano huo uliibua hisia za machungu kwa Uingereza pale rais, Barack Obama, aliposema Uingereza haitapewa kipaumbele cha kwanza katika makubaliano ya kibiashara na Marekani, kufuatia kujitoa Umoja wa Ulaya.
   Waziri Mkuu Teresa May akisalimiana na rais Vladimir Putin wa Urusi.
        Waziri Mkuu Teresa May akisalimiana na rais Xi Jinping wa China
 Waziri Mkuu Teresa May pia alikutana na kufanya mazungumzo na kiongozi wa Saudi Arabia.

No comments

Powered by Blogger.