Video: Diamond na Ne-Yo washoot video ya wimbo wao ‘Marry You’

Hatimaye Diamond na Ne-Yo wameshoot video ya wimbo wao, Marry You.
Video imefanyika jijini Los Angeles, Marekani. Wimbo huo ulirekodiwa kitambo baada ya Diamond kumfuata Ne-Yo Nairobi alikoenda kwenye kipindi cha Coke Studio Afrika, msimu wa tatu.

Baada ya hapo wawili hao walikutana tena Marekani kumalizia baadhi ya vipande. Mwezi May, Ne-Yo na Diamond waliuimba wimbo huo pamoja kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, kwenye tamasha la Jembeka.


Tazama Video Hapa:

No comments

Powered by Blogger.