MAJALIWA AZUNGUMZA NA MABALOZI NA WAFANYABIASHARA KUWAOMBA KUCHANGIA MAAFA KAGERA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mabalozi na Wafanyabiashara kuwaomba wachangie katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi mkoani Kagera . Mkutano huo ulifanyika Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)​
 Baadhi ya Mabalozi na Wafanyabiashara wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao , Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Baadhi ya Mabalozi na Wafanyabiashara wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao , Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mabalozi na Wafanyabiashara kuwaomba wachangie katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi mkoani Kagera . Mkutano huo ulifanyika Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)​
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mabalozi naWafanyabiashara kuwaomba wachangie katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi mkoani Kagera . Mkutano huo ulifanyika Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 13, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)​

No comments

Powered by Blogger.