RAIS WA FIFA AIPONGEZA YANGA KWA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA

 Rais wa Shirikisho la Soka Duniani, Gianni Infantino ameandika Barua ya kuipongeza timu ya Yanga kwa kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya tatu mfululizo. isome barua hiyo hapo chini.

No comments

Powered by Blogger.