Pogba Aanza Mfungo wa Ramadhani Akiwa Macca


Jumatano iliyopita, Pogba alifunga bao katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ajax katika fainali hiyo jijini Stockholm nchini Sweden.
Picha zimemuonyesha Pogba akiwa katika mavazi meupe sawa na waumini wengine.
       Staa wa Manchester United, Paul Pogba akiwa nchini Saudi Arabia, Macca.
Bado haijajulikana mchezaji huyo atautumia muda wake wote wa mapumziko nchini humo au la.
Kabla ya kuondoka Manchester, aliweka video fupi akiwa na begi mtandaoni na kuandika: “Najiandaa kwenda kusema asante kwa kilichotokea msimu huu, tutaonana baadaye watu wa Manchester!”

No comments

Powered by Blogger.