Hali ya Mbunge wa CHADEMA Siyo Nzuri, Alazwa Muhimbili
Mbunge huyo anasumbuliwa na uvimbe ambapo mdogo wake, Edward Heche amesema kuwa kaka yake alianza kupatwa na maumivu makali juzi (Jumatano) akiwa Dodoma ndipo alipokwenda kwa ajili ya kumsaidia.
“Hali ya Heche sio nzuri, tatizo ni kwamba alifanyiwa upasuaji kwenye uvimbe uliokuwa pajani lakini kwa bahati mbaya inaonekana baadhi ya nyuzi ziliachia na ndiyo inamsababishia maumivu makali.
Post a Comment