UJERUMANI YAENDELEZA USHINDI KUWANIA KUFUZU KOMBE LA DUNIA

 Julian Draxler na Sami Khedira wamefunga magoli mapema katika kipindi cha kwanza na kuisaidia Ujerumani kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Ireland ya Kaskazini.

Kwa ushindi huo Ujerumani imeendeleza ushindi wake wa tatu katika michezo ya kuwania kufuzu michuano ya kombe la dunia, huku ikiwa haijafungwa goli hata moja.
                                 Julian Draxler akifunga goli la kwanza la Ujerumani
   Sami Khedira akiruka juu na kufunga goli la pili kwa mpira wa kichwa

No comments

Powered by Blogger.