ARTURO VIDAL NA DOUGLAS COSTA WAIPA USHINDI BAYERN MUNICH

Arturo Vidal na Douglas Costa wamecheka na nyavu wakati Bayern Munich ikiibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Borussia Moenchengladbach 2-0.

Matokeo hayo yameifanya Bayern kupata ushindi wao wa kwanza katika mechi tatu za Bundesliga walizocheza na kuisaidia kuongoza ligi hiyo kwa tofauti ya pointi tatu.

Wageni Borussia Moenchengladbach walitarajiwa kutoa upinzani mkali baada ya kupata ushindi katika Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi Celtic, lakini wakajikuta wanageuziwa kibao.
 Arturo Vidal akiwa amepiga mpira ulioazaa goli la kwanza la Bayern Munich
 Douglas Costa akishangilia kwa kujipiga selfie na mashabiki baada ya kufunga goli la pili kwa Bayern Munich

No comments

Powered by Blogger.