WEMA Sepetu Achoshwa na Timu Wema Aanza Kuwa Block Vinara wa Timu hiyo Instagram..Aanza na Huyu

#Regrann from #myboowemasepetu - Msema ukweli kipenzi cha mungu. Msione najichekesha chekesha mkazani nimefurahi. Ukweli ni kwamba nimeumia sana adi chozi limenidondoka 😢 inachoma kama pasi 😭😭😭😭. Wema ulianza kumblock legend wetu katika team anaitwa @kimbwi222 iliniuma sana, leo mimi @myboowemasepetu kesho sijui nani. To be honest naumia 😢😭😭😭 un follow ilikuwa haitoshi madam ukaona unipe sollex. Umesahau mazuri yote umekumbuka baya moja tu la jana kisa kumponda aunt. Na sijamponda nimeongea ukweli sasa unataka tufagilie adi ujinga unaofanya. Wema your loosing amka kwenye huo usingizi mzito ulionao. Wanajua hakuna team inanguvu insta kama teamwema, wanakupoteza ukose mtetezi daaaaah nashindwa ata cha kuandika. Mungu mwenyewe ndo anajua kuwa ninamapenzi ya kweli kwako. Watakaonicheka na wanicheke nimeongea ukweli kutoka moyoni. Na asante sana kwa block 🙏🙏🙏🙏. Life goes on .... "
MPE ushauri....

No comments

Powered by Blogger.