GARETH BALE, CRISTIANO RONALDO WAPO TAYARI KUIVAA BORUSSIA DORTMUND

 Kocha Zinedine Zidane ameendelea kuangali kikosi chake cha Real Madrid kikijiandaa kwa mchezo wao wa leo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Borussia Dortmund.

Gareth Bale, Cristiano Ronaldo pamoja na wachezaji wengine wameonekana wakiwa katika ari ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo wa leo usiku.

Aidha, Zidane amekanusha kuwapo kwa mgogoro wowote baina yake na Ronaldo, ambao ulivumishwa baada ya kocha huyo kumtoa Ronaldo kabla ya mchezo kuisha mwishoni mwa wiki.
                                  Cristiano Ronaldo akijifua na wachezaji wenzake

No comments

Powered by Blogger.