SEMINA YA FULSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI




 Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani kwa ajili ya kuingia nao ubia kwa ajili ya kuwekeza Tanzania. Dkt. Frank Furka alisema jambo la kwanza muhimu ni kujifunza utamaduni wa wafanyabishara wa Kimarekani hasa inapokuja kwenye swala la muda, Mambo mengine ya kuzingatia ni ufafanuzi wa kina na uwazi wa fulsa unayoitafutia mwekezaji na itakapokuja swali uwe na uwezo wa kulijibu kwa ufasaha.
Caroline Chang kutoka Maryland Center For Foreign Investment akielezea sheria ya EB-5 Invester's Program inavyoweza kumnufaisha mwekezaji kutoka Tanzania anayewekeza nchini Marekani.
Kulia kwa Jessca Mushala ni Mujuni Joseph Kataraia akielezea kampuni ya Urban and Rural Engineering Services Ltd na aina gani ya mwekezaji wanaemtafuta kuingia nae ubia wa uwekezaji wa umeme wa jua na vifaa vya ujenzi.
Picha ya pamoja.

No comments

Powered by Blogger.