MAOMBI YA KUPEWA DHAMANA MANJI YAGONGA MWAMBA, AREJESHWA TENA RUMANDE

Mahakama Kuu Tanzania imekubali pingamizi lililowekwa na serikali na hivyo kutupilia mbali maombi ya dhamana ya mfanyabiashara Yusuf Manji.
Manji aliwasilisha mahakamani hapo maombi ya kupewa dhamana lakini imeshindikana na sasa amerejeshwa rumande.

No comments

Powered by Blogger.