EXCLUSIVE: MKUDE AONGEZA MKATABA WA MIAKA MIWILI KUENDELEA KUITUMIKIA SIMBA

Nahodha wa Simba, Jonas Mkude ameongeza mkataba na klabu yake hiyo.

Mkude amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba.

Kiungo huyo mkabaji alikuwa kati ya wachezaji wanaowania na watani wao wa jadi Yanga.

“Ameongeza mkataba wa miaka miwili, ilikuwa ni baada ya kukamilisha majadiliano ambayo yalikuwa yamefikia zaidi ya asilimia 99,” kilieleza chanzo.

No comments

Powered by Blogger.