MARCUS RASHFORD AIPATIA MANCHESTER UNITED USHINDI UGENINI
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka
19 aliupiga mpira huo kwa kuuzungusha na kuifanya United, sio tu
iongoze bali pia kupata goli lenye thamani la ugenini kabla ya
kurudiana katika dimba la Old Trafford Alhamisi ya wiki ijayo.
Mnchester United ikiwa ipo nje ya
nafasi nne za juu za Ligi Kuu ya Uingereza ikiwa pointi moja nyuma ya
Manchester City, kushinda Ligi ya Uropa ndio kunaweza kuwa ndio
nafasi pekee kwake kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao.
Kipa wa Celta Vigo akijaribu bila mafanikio kuuzuia mpira wa adhabu uliopigwa na Marcus RashfordKiungo wa bei mbaya wa Manchester United Paul Pogba akianguka vibaya wakati alipochuana na mchezaji wa Celta Vigo
Kocha Jose Mourinho akitupa chini note book yake na kalamu ili afuatilie vizuri mchezo wa jana
Post a Comment