Fahamu : Kisiwa ambacho ni marufuku kwa wanawake kufika
Kisiwa cha Okinoshima, hutumika kufanya matambiko kwa ajili ya usalama wa meli na pia wakazi wa Japan hutumia kisiwa hicho kuwasiliana na wakazi wa rasi ya Korea na China kati ya karne ya nne na tisa.
“Haya ni baadhi ya mambo ambayo itabidi yazingatiwe iwapo kisiwa kitaorodheshwa kuwa turathi,” anasema Asahi Shimbun, na kueleza kuwa huenda kisiwa hicho kikawa maarufu sana kwa utalii.
Hata hivyo, bado hakuna uwezekano kwamba marufuku dhidi ya wanawake kufika katika kisiwa hicho kitaondolewa.
Post a Comment