Breaking: Mahakama yamuachia Mbunge Godbless Lema kwa dhamana
Lema aliyekamatwa mapema mwezi Novemba mwaka jana amekuwa akikwama mara kwa mara kupatiwa dhamana katika kesi inayomkabili ya uchochezi dhidi ya Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Mahakama imemuachi baada ya kutimiza masharti ya dhamana yaliyokuwa yakimtaka kuwa na wadhamini wawili na TZS milioni 1.
Post a Comment