WASANII wa Bongo wameitikia wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam kufika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam mapema leo
asubuhi.
RC Makonda jana aliwataja wasanii 9 wanaotuhumiwa kujihusisha na mtandao
wa madawa ya kulevya pamoja na baadhi ya askari polisi huku akiwataka
wafike kwenye Kituo Kikuu cha Polisi leo asubuhi.
Babuu wa Kitaa akiwasili Kituo Kikuu cha Polisi
T.I.D naye akiwasili kituoni hapo.
Hamidu Chambuso aka ‘Nyandu Toz’ akiwasili kituoni.
Wanahabari wakichukua matukio kituoni hapo.
Post a Comment