HOFFENHEIM NA BORUSSIA DORTMUND ZATOSHANA NGUVU BUNDESLIGA

 Timu ya Hoffenheim na Borussia Dortmund zimegawana pointi katika mchezo mzuri wa Bundesliga ulioishia kwa sare ya magoli 2-2 jana usiku.

Katika mchezo huo wenyeji Hoffenheim walifunga goli la kwanza ndani ya dakika mbili kupitia kwa Mark Uth, hata hivyo goli hilo lilisawazishwa na Mario Gotze.
Sandro Wagner aliongeza goli la pili la Hoffenheim, lakini mshambuliaji nyota wa Dortmund- Pierre-Emerick Aubameyang akasawazisha goli hilo.
 Sandro Wanger akiwa ameupiga mpira uliomshinda kipa Roman wa 
 Dortmund
 Osumane Dembele akiwa amebebwa kwenye machela baada ya kuumia huku Aubameyang akiangalia

No comments

Powered by Blogger.