Picha: Rambo amtembelea Manny Pacquiao kwenye kambi yake

 Muigizaji wa Marekani, Sylvester Stallone maarufu kwa jina la Rambo amemtembelea bondia Manny Pacquiao kwenye kambi yake ya Wild Card gym ya Hollywood. Pacquiao yupo nchini Marekani kwa ajili ya pambano lake na bondia Jessie Vargas la WBO uzito wa welterweight ambalo lifanyika Novemba 5 ya mwaka huu mjini Las Vegas.

No comments

Powered by Blogger.