Lukaku Kupandishwa Kortini Nchini Marekani
Mshambulizi
huyo wa Everton aria wa Ubelgiji atapamba kizimbani Oktoba 2, mwaka huu
kutakana na usumbufu uliosababishwa na kelele zilizotoka katika jumba
alilokodi katika eneo la Beverly Hills. Alikamatwa wikiendi iliyopita baada ya majirani kulalamika kutokana na kelele hizo.
Kwa mujibu wa Polisi wa Beverly Hills, Lukaku alionywa mara tano kabla ya polisi hao kumuweka chini ya ulinzi. Kwa Marekani na nchi za Ulaya, majirani wanaweza kushitaki kama mwingine anawasumbua kwa kelele.
Post a Comment