Taarifa Toka IKULU: Rais Magufuli Amegawa Magari ya kubebea wagonjwa kwa wabunge Watatu

Mbunge wa Nkasi (CCM), Ally Kessy akifurahia baada ya kukabidhiwa gari hilo.

 IKULU: Rais Magufuli ametoa magari matatu ya kubebea wagonjwa (Ambulance) kwa Wabunge wa majimbo ya Nkasi, Shinyanga na Tabora.
 Mbunge wa viti maalum CCM Lucy Mayenga akikabidhiwa funguo za gari na Balozi John Kijazi.
 Mbunge wa Viti maalumu Tabora Munde Tambwe akifurahi baada ya kukabidhiwa gari hilo na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi.
                Wabunge hao wakielekea mahali ambapo magari hayo yalikuwa yameegeshwa.
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi (kati) akiwa na Katibu Mkuu Ikulu Mhe. Alphayo Kidata (Kushoto) na Mkurugenzi wa Huduma Ikulu  Bw. Charles Mwankupili (kulia) na  Wabunge Mhe Ali Mohamed Kessy (mbunge wa Nkasi Kaskazini)  Mhe. Munde tambwe na Mhe Lucy Mayenga (wabunge viti maalumu)  baada ya kuwakabidhi magari la kubebea wagonjwa waliyopewa msaada na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2017.

No comments

Powered by Blogger.