RAIS BARACK OBAMA APONDA RAHA BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE

Aliyekuwa rais wa Marekani, Barack Obama, amekuwa na wakati mzuri wakati huo wa mapumziko kwa kucheza michezo ambapo ameonekana akiwa mapumzikoni Caribbean na rafiki wake bilionea Richard Branson.

Picha mpya za Obama zinamuonyesha akicheza mchezo wa ku-Surf majini akiwa na Branson, hii ikiwa ni baada ya kukamilisha miaka yake minane ya kuliongoza taifa la Marekani kwa mafanikio.

Obama alionekana kuweka kando pesha za Ikulu ya Marekani, wakati aki-surf na kutaniana na Bilionea Branson kwenye boti, huku akiachia tabasamu kubwa mbele ya kamera wakati akifurahi mapumziko yake.
      Barack Obama akiwa nusu majini akijiandaa kusimama ili aanze ku-surf
          Barack Obama aki-surf kwenye maji akiwa mapumzikoni Caribbean
 Barack Obama akimtishia ngumi Bilionea Branson ambaye amemkapa shingo

No comments

Powered by Blogger.