AZAM YANUNUA MELI MPYA ITAKAYOTOKA TANGA KWENDA PEMBA NA UNGUJA
Meli
Kubwa inayoweza kuingia abiria na mizigo kwa pamoja ambayo itafanya
safari zake kati ya Tanga-Unguja na Pemba ikiwa inaingia bandari ya
Tanga leo wakati wa uzinduzi wake ambapo uwekezaji huo mkubwa umefanywa
na kampuni ya Azam Marine ili kuwanusuru wananchi wa mkoa wa Tanga na
changamoto za usafiri huo
Meli
Kubwa inayoweza kuingia abiria 1600 na magari hamsini yenye mizigo kwa
pamoja ambayo itafanya safari zake kati ya Tanga-Unguja na Pemba ikiwa
inaingia bandari ya Tanga leo wakati wa uzinduzi wake ambapo uwekezaji
huo mkubwa umefanywa na kampuni ya Azam Marine
Meneja
Mkuu wa Azam Marine Husein Mohammed katikati akisalimiana na Kaimu
Meneja wa Bandari ya Tanga,Tryphoni Ntipi wakati wa ujio wa meli hiyo
kushoto ni PRO wa Mamlaka hiyo,Moni Jarufu.
Mazungumzo yakiendelea.Meneja Mkuu wa Azam Marine Husein Mohammed wa pili kulia akitazama namna wananchi wanavyoshuka kwenye meli hiyo itakayopunguza adha na usumbufu kwa wananchi wanaosafiri kutoka mkoani Tanga kwenda Unguja na Pemba
Meneja Mkuu wa Azam Marine Husein Mohammed akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na ujio wa meli hiyo kulia Mkurugenzi Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa vyombo vya majini (SUMATRA) Kaptain Mussa Mandia
Mkurugenzi Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa vyombo vya majini (SUMATRA) Kaptain Mussa Mandia katikati akizungumza na waandishi wa habari kushoto ni Meneja Mkuu wa Azam Marine Husein Mohammed
Nahodha wa Meli hiyo akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufika Bandari ya Tanga.
Waandishi wa Habari wakiwa kazini kushoto ni Amina Omari wa Gazeti la Mtanzania katikati ni Mariam Shedafa wa Azam TV
Vifaa vya uokozi wakati wa majanga ya ajali hivyo
Baadhi ya Sehemu ya VIP ndani ya Meli hiyo kama inavyoonekana
Post a Comment