Dili Lingine Kutoka Tecno...Nunua Simu Ya Phantom 6 Au 6+ Ushinde Vocha Za Chakula

Tecno hawaishi kukuletea dili bomba kila kunapokucha ambapo safari hii kwa kushirikiana na Jumia wamepania kuhakikisha huduma kwa wateja wao zinakuwa bora zaidi na wanafurahia kuwa wateja wa bidhaa za kampuni hizi mbili kwa muda mrefu. 
Uboreshwaji huu wa huduma unalenga katika ubora na urahisishaji wa kutumia huduma na bidhaa za kampuni hizi hasa kuelekea kipindi cha mwisho wa mwaka wenye sikukuu ya Christmas na mwaka mpya.

Wateja watafaidika kwa njia mbaimbali kupitia ushiriano huu kuanzia kwenye huduma mpaka zawadi mbalimbali zitakazotolewa. 
Wateja watakaonunua simu mpya za PHANTOM 6 na PHANTOM 6 Plus watapata kuponi zitakazowawezesha kuagiza chakula popote ambapo kampuni ya Jumia inafanya kazi .Utaratibu huu umeanza rasmi 1/11/2016 ambapo pia wateja wa Jumia watakapoagiza chakula kupitia programu (Application) inayopatikana katika mfumo wa android watapata nafasi ya kushinda simu ya PHANTOM 6 na zawadi zingine kemkem zitakazo tolewa na kampuni ya JUMIA kwa hisani ya TECNO MOBILE LIMITED

Katika mwezi Novemba na Desemba kuna nafasi kubwa kwa wateja wa kampunia hizi mbili kufurahia ofa kabambe, nunua simu za TECNO PHANTOM 6 katika maduka yote yaliyopo nchini kote upate kujishindia zawadi kutoka JUMIA na TECNO MOBILE LIMITED. Usikose Fursa Hii!
 
Tembelea kurasa za mitandao ya kijamii ya Tecno kufahamu zaidi kuhusiana na Tecno Phantom 6 na Phantom 6 Plus.
 
 
 

No comments

Powered by Blogger.