DAKTARI ALIYESABABISHA VIFO VYA WATU 13 INDIA MBARONI
![]() | |||||||||
| Dk. RK Gupta aliyetiwa mbaroni |
![]() |
| Baadhi ya akina mama waliofanyiwa upasuaji wakiwa hospitali. |
Dk Gupta na msaidizi wake waliwafanyia upasuaji wananawake 83 katika
kijiji cha Pendari ndani ya saa 3 Jumamosi iliyopita na kusababisha vifo
13 huku wengi wakiwa wamelazwa hospitali, 20 kati yao wakiwa katika
hali mbaya.




Post a Comment