BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA

Basi la Super Aljabir baada ya ajali.


Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio.
ZAIDI ya watu saba wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa baada ya Basi la Super Aljabir linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mahenge mkoani Morogoro kugongana na treni maeneo ya Kiberege karibu na Ifakara, Morogoro jioni hii.
Ajali hiyo imetokea wakati basi hilo likijaribu kuwahi kuvuka reli kabla ya treni kupita.

No comments

Powered by Blogger.