BENKI YA CRDB YAFUNGUA TAWI JIPYA CHAKECHAKE KISIWANI PEMBA


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (katikati) akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Tawi jipya la Benki ya CRDB lililopo katika Mji wa Chake chake, kisiwani Pemba, Julai 29, 2017. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Hussein Laay, Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira ambaye pia ni Kaimu Waziri wa Fedha na Mipando wa Zanzibar, Salama Aboud Talib na kulia ni Mkugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akifunua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa Tawi jipya la Benki ya CRDB lililopo katika Mji wa Chake chake, kisiwani Pemba, Julai 29, 2017. 
           Mkugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei akizungumza katika hafla hiyo.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (katikati) akihutubia katika hafya ya ufunguzi rasmi wa Tawi jipya la Benki ya CRDB lililopo katika Mji wa Chake chake, kisiwani Pemba, Julai 29, 2017. Kulia ni Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira ambaye pia ni Kaimu Waziri wa Fedha na Mipando wa Zanzibar, Salama Aboud Talib, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Hussein Laay (wa pili kushoto) pamoja na Mkugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohanmed Shein (katikati), Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira ambaye pia ni Kaimu Waziri wa Fedha na Mipando wa Zanzibar, Salama Aboud Talib (wa pili kulia), Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla (kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Hussein Laay (kushoto) pamoja na Mkugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (aliyeketi nyuma) wakiwa katika picha ya pamoja katika madawati na baadhi ya wanafunzi wa skuli ya msingi Madunghe ya Chakecaheke kisiwani Pemba. Madawati hayo yametolea na Benki ya CRDB kwa shule hiyo. 

No comments

Powered by Blogger.