RC Gambo awataka watendaji kutatua kero za wananchi

 Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho M. Gambo awaagiza viongozi wa serikali ya kijiji , kata, tarafa, Halmashauri na wilaya  kuhakikisha wanatenga muda wa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua ikiwa ni sambamba na kutekeleza  majukumu yao kwa kuzingatia sheria, taratibu na miongozo ili kuleta tija kwa serikali na wananchi, aidha mkuu huyo wa mkoa ameeleza hayo alipokua kwenye ziara yake ya siku tano kwenye halmashauri ya Meru alipokua kwenye kikao chake na  watumishi wa Halmshauri makao makuu,maafisa watendaji wa kata,maafisa tarafa pamoja na madiwani.
 Sehemu ya Wananchi wa Halmashauri ya Meru Jijini Arusha wakiwa kwenye Mkutano wa pamoja na Mkuu wa Mkoa wao pamoja na watendaji.

No comments

Powered by Blogger.