MAYWEATHER JEURI, AMRUSHIA NOTI ZA DOLA MPINZANI WAKE

Bondia Floyd Mayweather na Conor McGregor wamefanya ziara yao ya tatu ya dunia wakiwa Jijini New York City jana huku akitambiana katika ku-promoti pambano lao.
Mabondia hao walikuwa burudani tosha kwa mashabiki wao wakati walipokuwa wakipondana katika mazungumzo yao katika maeneo ya Los Angeles na Toronto pamoja na Brooklyn.
Katika kuonyesha jeuri Mayweather alimtupia noti za dola mpinzani wake McGregor huku akimuambia kiasi hicho cha fedha ndio thamani yake.
                     Floyd Mayweather na Conor McGregor wakizuiwa wasizichape kavukavu
                                 Floyd Mayweather na Conor McGregor wakirushiana maneno
                         Floyd Mayweather akimrushia noti za dola mwenzake Conor McGregor

No comments

Powered by Blogger.