Rais Magufuli Kupokea Taarifa ya Kamati Maalum ya Mchanga wa Madini

IKULU: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kesho anatarajiwa kupokea taarifa ya kamati maalum iliyoundwa kuchunguza mchanga wa madini uliopo kwenye makontena maeneo mbalimbali nchini.

No comments

Powered by Blogger.