Miss Kinondoni Atwaa Taji la Miss Tanzania 2016

                              Miss Tanzania 2016 Diana Edward Lukumai akipunga mkono.
                                                            Warembo walioingia Top 5.
Diana Edward Lukumai katika pozi.
Miss Kinondoni 2016, Diana Edward Lukumai aimeibuka kidedea kwa kutwaa taji la Miss Tanzania 2016. Shindano hilo kwa mara ya kwanza limefanyika jijini Mwanza katika ukumbi wa Rock City Mall. Diana ameibuka kidedea na kuwabwaga wenzake 30.

No comments

Powered by Blogger.