Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora ya
Redd’s Miss Tanzania Photogenic 2014, wakiwa katika picha ya pamoja na mshindi   wa taji hilo, Evelyn Baasa (katiakti) jana. Wengine kutoka kushoto ni Nicole  Sarakikya, Lilian Kamazima, Lilian Timothy na Dorice Mollel.

No comments

Powered by Blogger.