wastara akiwa mbele ya bango la wodi ya wazazi Hospitali ya Amana.

MKONGWE katika kiwanda cha sanaa ya maigizo Wastara Juma, leo amesherehekea siku yake ya kuzaliwa pamoja na watoto 40, waliozaliwa  katika hospitali ya Amana kuanzia saa sita ya usiku mpaka leo.
Sherehe hiyo ameifanya kwa kushirikia na timu yake (TEAM WASTARA) kwa kupeleka vitu mbalimbali kama nguo za watoto, sabuni,  pempasi na vinginevyo katika wodi ya wajawazito iliyopo   hospitali ya Amana Ilala, jijini Dar es Salaam. credit/gpl
 

No comments

Powered by Blogger.